Alex Hamadi Hamis
Member
- Apr 18, 2017
- 86
- 57
Sofa set ya kukaa watu saba 3:2:1:1 unapata na mito yake yote.
450,000/= tu
(Dar es Salaam)
Call/WhatsApp: 0676095799
Unataka kusafiri kuelekea wapi boss?Pamoja na usafiri? Vp kuhusu risiti ya TrA?
Kwa mtogore!Unataka kusafiri kuelekea wapi boss?
Kwa mtogore!
Zinauzwa zote kama zilivyo bossPair moja ya watu wawil shi ngapi
Barabara ipo kufika home kwako au njia ya miguu?Kwa mtogore!
Wee nae bhana sasa mito pekee unapeleka wapi[emoji3]Mito peke yake bei gani?
Wee nae bhana sasa mito pekee unapeleka wapi[emoji3]
[emoji3]Si mlisema mnapenda pillow talks nyie![emoji12] nataka za kuchezea kwenye naniliu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mito peke yake bei gani?