Software gani ninayoweza kuitumia kutuma na kupokea sms within and outside country free.

Software gani ninayoweza kuitumia kutuma na kupokea sms within and outside country free.

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2009
Posts
4,587
Reaction score
580
Wadau naomba munisaidie software ambazo kupitia simu yangu ya mkononi ninaweza kutuma na kupokea sms popote duniani bila malipo.yaan wanaoprovide free sms.
 
What is your mobile number? I will send you the link (not a software)!
 
angalia,skype software,sms disaccount ,huwa wana hiyo offer
 
Andika neno NIMBUZZ.COM.Ukishaingia hapa utakutana na link ambayo unatakiwa kuidownload kwenye simu yako kupitia nambayako ya simu.Waweza fanya zoezi hili kwa kutumia comp au simu yenyewe.Kisha unainstall na kufungua account yako ya Nimbuzz ambayo itakuruhusu kuwaunganisha marafiki zako wooote waliopo yahoo,hotmail,facebook,g mail,twitte na mingine mingi kasoro SKYPE.Usiniulize kwanini hapo sina jibu...!Link yenyewe ni hii hapa; http://get.nimbuzz.com Ukifanikiwa nitaarifu/usipofanikiwa nitaarifu pia...Kila anayependa ni kitu rahisi sana mnaweza tumia ndugu zangu alimradi upo kwenye mawasiliano.Simu aina yoyote isipokuwa ya Mchina line mbili na kuendelea maana juzi nimeona simu ya line tano....!!!!!!Mchina atatumaliza kweliiiii...
 
Toka uku Jukwaa la siasa Software zinaingiaje.....
 
Andika neno NIMBUZZ.COM.Ukishaingia hapa utakutana na link ambayo unatakiwa kuidownload kwenye simu yako kupitia nambayako ya simu.Waweza fanya zoezi hili kwa kutumia comp au simu yenyewe.Kisha unainstall na kufungua account yako ya Nimbuzz ambayo itakuruhusu kuwaunganisha marafiki zako wooote waliopo yahoo,hotmail,facebook,g mail,twitte na mingine mingi kasoro SKYPE.Usiniulize kwanini hapo sina jibu...!Link yenyewe ni hii hapa; http://get.nimbuzz.com Ukifanikiwa nitaarifu/usipofanikiwa nitaarifu pia...Kila anayependa ni kitu rahisi sana mnaweza tumia ndugu zangu alimradi upo kwenye mawasiliano.Simu aina yoyote isipokuwa ya Mchina line mbili na kuendelea maana juzi nimeona simu ya line tano....!!!!!!Mchina atatumaliza kweliiiii...

nimekupata kaka ngoja nijaribu
 
Andika neno NIMBUZZ.COM.Ukishaingia hapa utakutana na link ambayo unatakiwa kuidownload kwenye simu yako kupitia nambayako ya simu.Waweza fanya zoezi hili kwa kutumia comp au simu yenyewe.Kisha unainstall na kufungua account yako ya Nimbuzz ambayo itakuruhusu kuwaunganisha marafiki zako wooote waliopo yahoo,hotmail,facebook,g mail,twitte na mingine mingi kasoro SKYPE.Usiniulize kwanini hapo sina jibu...!Link yenyewe ni hii hapa; http://get.nimbuzz.com Ukifanikiwa nitaarifu/usipofanikiwa nitaarifu pia...Kila anayependa ni kitu rahisi sana mnaweza tumia ndugu zangu alimradi upo kwenye mawasiliano.Simu aina yoyote isipokuwa ya Mchina line mbili na kuendelea maana juzi nimeona simu ya line tano....!!!!!!Mchina atatumaliza kweliiiii...

nimedownlod but nimeshindwa kufungua account coz connection ina fail sijui tatizo ni nini kwenye cm yangu.
 
nimedownlod but nimeshindwa kufungua account coz connection ina fail sijui tatizo ni nini kwenye cm yangu.

Angalia kama unaweza fungua vitu vingine,Kisha jaribu kurudia,Kama tatizo sio simu basi inaweza ikawa net..Ila kama utafanikiwa ni njia nzuri san ya mawasiliano ndio ninayotumia,Just to make sure your connected with internet..Kama umefanikiwa kudowload na kuinstall na kama imekuonyesha kwamba Open your account umefanikiwa...Tumia email yako ambayo ni valid na password waweza weka unayotumiaga popote au ukatunga mpya.
 
Angalia kama unaweza fungua vitu vingine,Kisha jaribu kurudia,Kama tatizo sio simu basi inaweza ikawa net..Ila kama utafanikiwa ni njia nzuri san ya mawasiliano ndio ninayotumia,Just to make sure your connected with internet..Kama umefanikiwa kudowload na kuinstall na kama imekuonyesha kwamba Open your account umefanikiwa...Tumia email yako ambayo ni valid na password waweza weka unayotumiaga popote au ukatunga mpya.

Tupo pamoja,acha nisikilizie baadaye nijaribu tena nione respond yake
 
Appropiate post in a wrong section.Hivi inawezekana JF inajiendesha pasipo moderation?Maana kama ishu za software zinatundikwa Jukwaa la siasa,the worst may be just inches away before happening.

Invisible upooo?
 
Back
Top Bottom