Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,473
- 4,252
Yaani inasikitisha jinsi software ya uchaguzi ya NEC ilvyojaa wadudu(bugs)!! angalia jinsi wasimamizi kule Kilombero walivyoshindwa kuitumia na mwishowe kuamua kujumlisha matokeo ya vituo kwa kutumia calculator za kwenye simu zao na mwisho wake kumpora ushindi bi. Regia....