Unaelewa maana ya kuflash simu?Hii kufrashi?
Ni kwa ajili ya kuwa ni simu za wizi etii?? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Sirewi kwanini mtu aamue tu kufrashi simu yake.....
Sp flash tool, odin na nyingine zinauzwa wadau watakusaidiaNiko na simu hapa nataka kui remove screen lock mbaya zaidi button zake za volume up na down zmeharbika ningeweza kuiformat.
Katika pitapita zangu huko YouTube nikaona wahindi wanatumia MTK CLIENT TOOL na MTK UNIVERSAL TOOL kwa mwenye hizo software wakuu naomba ili niweze kutatua changamoto hii
Simu yako Ni model ipi?Niko na simu hapa nataka kui remove screen lock mbaya zaidi button zake za volume up na down zmeharbika ningeweza kuiformat.
Katika pitapita zangu huko YouTube nikaona wahindi wanatumia MTK CLIENT TOOL na MTK UNIVERSAL TOOL kwa mwenye hizo software wakuu naomba ili niweze kutatua changamoto hii
Kwanini uflash wakati shida ni kutoa pasword kwanini usitumie dongle kuformat hiyo simuNiko na simu hapa nataka kui remove screen lock mbaya zaidi button zake za volume up na down zmeharbika ningeweza kuiformat.
Katika pitapita zangu huko YouTube nikaona wahindi wanatumia MTK CLIENT TOOL na MTK UNIVERSAL TOOL kwa mwenye hizo software wakuu naomba ili niweze kutatua changamoto hii
Labda alikuwa anataka kusema power button na volume up😂Unatumiaje button za volume up and down kuiformat simu?