marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
fainali mkondo wa kwanza nyumbani kwa WYDAD
1.ESPERANCE wanapata goli
2. Beki wa WYDAD anapata kadi nyekundu baada ya kupewa njano mbili
3.WYDAD wanasawazisha goli , goli linakataliwa baada ya refa kuangalia VAR
4.WYDAD wananyimwa penalti baada ya beki kuunawa Mpira ukielekea nyavuni refa anaangalia VAR na kukataa tuta
5.WYDAD wakiwa pungufu wanasawazisha goli[emoji460][emoji460][emoji460]
6.mechi inaisha 1-1 pale MOROCCO [emoji810][emoji810][emoji810]
7.refa aliechezesha mechi ya fainali ya kwanza anafungiwa miezi 6 kutokakana na maamuzi mabovu kwenye mechi hio
8.mechi ya marejeano ( fainali ya pili) nyumbani kwa ESPERANCE
9.ESPERANCE wanapata goli la kutangulia
10.WYDAD wanachomoa na goli halali linakataliwa kwa madai ya kua MFUNGAJI alikua OFFSIDE
11.WYDAD wanamlalamikia mwamuzi akaangalie VAR lakini mwamuzi anagoma
12.WYDAD wanagoma kucheza mpakaa VAR iangaliwe
13.VAR inagundulika kua ni mbovu na haifanyai kazi
14.RAIS wa CAF anaingia mpaka uwanjani kuomba mechi iendelee bila VAR lakini WYDAD wanagoma wakidai wanaonewa wazi wazi
15.kapteni wa ESPERANCE anadai mwamuzi aliwaambia kabla ya mechi VAR ni mbovu lakini kapteni mwenzie wa WYDAD hakuelewa lugha ya mwamuzi
16.ESPERANCE anakabidhiwa kombe kwa mara ya pili baada ya mechi kuvunjika.
THIS IS AFRICA[emoji276][emoji276]
1.ESPERANCE wanapata goli
2. Beki wa WYDAD anapata kadi nyekundu baada ya kupewa njano mbili
3.WYDAD wanasawazisha goli , goli linakataliwa baada ya refa kuangalia VAR
4.WYDAD wananyimwa penalti baada ya beki kuunawa Mpira ukielekea nyavuni refa anaangalia VAR na kukataa tuta
5.WYDAD wakiwa pungufu wanasawazisha goli[emoji460][emoji460][emoji460]
6.mechi inaisha 1-1 pale MOROCCO [emoji810][emoji810][emoji810]
7.refa aliechezesha mechi ya fainali ya kwanza anafungiwa miezi 6 kutokakana na maamuzi mabovu kwenye mechi hio
8.mechi ya marejeano ( fainali ya pili) nyumbani kwa ESPERANCE
9.ESPERANCE wanapata goli la kutangulia
10.WYDAD wanachomoa na goli halali linakataliwa kwa madai ya kua MFUNGAJI alikua OFFSIDE
11.WYDAD wanamlalamikia mwamuzi akaangalie VAR lakini mwamuzi anagoma
12.WYDAD wanagoma kucheza mpakaa VAR iangaliwe
13.VAR inagundulika kua ni mbovu na haifanyai kazi
14.RAIS wa CAF anaingia mpaka uwanjani kuomba mechi iendelee bila VAR lakini WYDAD wanagoma wakidai wanaonewa wazi wazi
15.kapteni wa ESPERANCE anadai mwamuzi aliwaambia kabla ya mechi VAR ni mbovu lakini kapteni mwenzie wa WYDAD hakuelewa lugha ya mwamuzi
16.ESPERANCE anakabidhiwa kombe kwa mara ya pili baada ya mechi kuvunjika.
THIS IS AFRICA[emoji276][emoji276]