Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
YANGA VS AZAM. Yanga alishinda goli 1-0 dhidi ya Azam pamoja na mapungufu ya referee kutoa maamuzi lakini hukusikia kocha, viongozi wala mashabiki wa Azam wakisema referee kawabeba Yanga, hawakusema kutokana na ukomavu na uelewa wao ktk soka wakitambua wazi refa pia ni Binadamu hivyo km Binadamu kuna makosa mengne hufanya kwa bahati mbaya.
Lakini upande wa pili mchezo huo huo Azam angeshinda na mapungufu yale ya refa tungesikia maneno refa alikuja na matokeo yake mfukoni kitu ambacho si lugha ya kimchezo tujifunze kukubali matokeo pale tunaposhindwa na kuwapongeza washindi.
KAGERA SUGAR 2-1.Tunaona pamoja na ratiba ngumu waliokuwa nayo Simba ata baada yakupoteza mwalimu alipohojiwa alikiri timu yake haikicheza vizuri na anajua alikosea wapi atafanyia marekebisho mapungufu yale na kuwapongeza KAGERA kwa ushindi, ile ndo lugha ya kimchezo.
PENALTY. Kwenye mpira wa miguu sheria haijaweka kiwango (idadi) ya penalty ndan ya dakika 90 bali adhabu ya penalty itatolewa kwa mujibu wa kosa pacpo kujali idadi ya penalty wala muda wa mchezo mathalani kosa limetendeka ndani ya eneo la 18 na refa kajilidhisha kuna kosa basi penalty itatengwa ata kama zimeshapigwa 5 na bado kosa limetendeka ndani ya 18 itatengwa tena kwaiyo mashabiki lazima mlielewe hilo mcpende kulaumu bila kujua taratibu inasemaje.
MUDA WA NYONGEZA. Kwa kawaida inatafsilika kuwa mchezaji tofauti na kipa ana dk 1 ya matibabu ndani ya uwanja kwaiyo inapotokea wametibiwa wa3 inamaana kuna dk 3 zimepotea,, sasa kwa kutojua au kwa makusudi wachezaji wetu wamekuwa wakipoteza muda kwa mtindo huo bila kujua kuwa muda huo unahifadhiwa ama kujiangusha kwa makusudi na inapotokea muda kuongezwa zaid ya matarajio yao wao hulaumu bila kukumbuka muda waliopoteza na hili lilitokea IRINGA mchezo wa LIPULI VS YANGA mchezo ukachezwa dk 99, pia mchezo kati ya SIMBA VS JKT TANZANIA mchezo ukachezwa dk 97 hii yote ni kutoelewa kwa wachezaji wetu, wenzetu wana mbinu zao zakupoteza muda eidha wauchezee mpira kwenye eneo lao zaidi au kwenye eneo la kona ya mpinzan co kujiangusha ovyo uwanjani.
Tuepuke MIHEMKO na unazi kwenye SOKA letu ligi itapendeza aliyeshinda apongezwe na aliyeshindwa afanyie marekebisho mapungufu yake tusipende kulaumu sana soka la mdomoni halitatusaidia.
Lakini upande wa pili mchezo huo huo Azam angeshinda na mapungufu yale ya refa tungesikia maneno refa alikuja na matokeo yake mfukoni kitu ambacho si lugha ya kimchezo tujifunze kukubali matokeo pale tunaposhindwa na kuwapongeza washindi.
KAGERA SUGAR 2-1.Tunaona pamoja na ratiba ngumu waliokuwa nayo Simba ata baada yakupoteza mwalimu alipohojiwa alikiri timu yake haikicheza vizuri na anajua alikosea wapi atafanyia marekebisho mapungufu yale na kuwapongeza KAGERA kwa ushindi, ile ndo lugha ya kimchezo.
PENALTY. Kwenye mpira wa miguu sheria haijaweka kiwango (idadi) ya penalty ndan ya dakika 90 bali adhabu ya penalty itatolewa kwa mujibu wa kosa pacpo kujali idadi ya penalty wala muda wa mchezo mathalani kosa limetendeka ndani ya eneo la 18 na refa kajilidhisha kuna kosa basi penalty itatengwa ata kama zimeshapigwa 5 na bado kosa limetendeka ndani ya 18 itatengwa tena kwaiyo mashabiki lazima mlielewe hilo mcpende kulaumu bila kujua taratibu inasemaje.
MUDA WA NYONGEZA. Kwa kawaida inatafsilika kuwa mchezaji tofauti na kipa ana dk 1 ya matibabu ndani ya uwanja kwaiyo inapotokea wametibiwa wa3 inamaana kuna dk 3 zimepotea,, sasa kwa kutojua au kwa makusudi wachezaji wetu wamekuwa wakipoteza muda kwa mtindo huo bila kujua kuwa muda huo unahifadhiwa ama kujiangusha kwa makusudi na inapotokea muda kuongezwa zaid ya matarajio yao wao hulaumu bila kukumbuka muda waliopoteza na hili lilitokea IRINGA mchezo wa LIPULI VS YANGA mchezo ukachezwa dk 99, pia mchezo kati ya SIMBA VS JKT TANZANIA mchezo ukachezwa dk 97 hii yote ni kutoelewa kwa wachezaji wetu, wenzetu wana mbinu zao zakupoteza muda eidha wauchezee mpira kwenye eneo lao zaidi au kwenye eneo la kona ya mpinzan co kujiangusha ovyo uwanjani.
Tuepuke MIHEMKO na unazi kwenye SOKA letu ligi itapendeza aliyeshinda apongezwe na aliyeshindwa afanyie marekebisho mapungufu yake tusipende kulaumu sana soka la mdomoni halitatusaidia.