Soka la Bongo - Maximo karudi likizo

Soka la Bongo - Maximo karudi likizo

Morani75

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2007
Posts
613
Reaction score
19
Duh, leo nimepita kwa ndugu yetu Michuzi "www.issamichuzi.blogspot.com" nikakuta katundika picha ya Kocha wa Staaz - Maximo amefungua duka barabarani.... Si utani ni picha inafurahisha sana na kuchekesha kuona "Kocha wa Timu ya Taifa" amefungua duka..... Sisemi ni vibaya lakini duh, si utani!!

Clip yenyewe ni:

http://issamichuzi.blogspot.com/2008/01/duka.html#comments
 
Back
Top Bottom