Wakuu kwema?
Mimi ni mmoja wa Watanzania ninao penda mchezo wa mpira wa miguu tangu nikiwa na umri mdogo hadi sasa.
Leo ninatoa maoni yangu juu ya maendeleo ya mchezo wa mpira wa miguu hapa nchini.
Moja ya tatizo ambalo linakwamisha sana maendeleo ya huu mchezo hapa nchini kwetu ni: KUINGILIANA KATIKA MAJUKUMU.
Tatizo hili ni sugu kuanzia ngazi ya vilabu, Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) & Wizara ya Michezo.
Asanteni.