Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Kusema ukweli nimeangalia hizi videos hadi chozi likanilengalenga, haswa ile ya kwanza...na tukio la yule dogo msauzi.
Soka ni mchezo wa furaha, amani, upendo na kuheshimiana...wacheza soka wengi ni matajiri na masuperstaa haswa, lakini jinsi wanavyojishusha na kuwathamini mashabiki wao, ni jambo la kushangaza na kufurahisha sana...
Nasi mashabiki tufanye hivyo baina yetu...nafahamu utani wa hapa na pale unafaa sana. Lakini usizidi mipaka na kuanza kuvunjiana heshima.
CC: Belo RRONDO Malafyale everlenk Mbu BAK Mentor Ntuzu Manumbu Balantanda Wacha1 Wacha Bulldog EMT rubaman DonDonald utafiti Gwamahala MosDef Eli79 Viol Mourinho Janjaweed kalou truegooner kashengo Viper privacy Sizinga Ngongo Mndengereko kitwala Cathode Rays Mr. Wise Shedafa Ed n Edd nEddy juve2012 Ziroseventytwo shifta Nonda ALEYN Shefwaa Root WISE 2012 SaidAlly ndetichia Salamander MUSSOLIN Amavubi Katavi nifah grafani11 mkolaj Freeland Gang Chomba gutierez Asprin Sikonge Mphamvu Revocatus Kashaga El Toro Idimi IFRS
Last edited by a moderator: