Soko kubwa la Wamachinga Afrika Mashariki lajengwa Dodoma. Wakuu wote wa Majiji waenda kujifunza kwa RC Mtaka

Machinga hajingewi soko
Machinga hafuatwi na wateja kwenye kizimba isolated
Machinga ni kama ng'ombe na wale ndege weupe machungani ..Machinga anahitaji uwepo wa msongamano wa mafanyabiashara wa jumla wakubwa
Good point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…