Soko kwa kwa wakulima wa Dengu

Sanjara Honey

Member
Joined
Jul 1, 2009
Posts
71
Reaction score
32
Kama wewe ni mkulima au unamjua mkulima/wakulima wa Dengu tafadhari wasiliana nami.

Nahitaji dengu aina ya TULIDALI tani 120 haraka sana

Contacts:
E-mail: sanjarahoneytz@gmail.com
Mob: 0732-99-38-34
 
unatoa sh ngapi kama wekezo la kumhakikishia muuzaji atakaye kusanya haraka kama anafahamu zinapouzwa. toa ofa ya bei kwa kilo ya dengu husika, na tafadhari pia sema ununuzi huo utadumu kwa muda gani isije ikawa wazihitaji leo halafu kesho ukasema tayari zimetimia. pia sema ni njia ipi ya mawasiliano kuwaupdate watakaokuletea kujua kiasi ambacho bado unahitaji wasije wakaaleta kiasi cha tani 120 kumbe tayari muda huuu umeshapata tani 50
 

You talk sense Lukundo.
Nitumie message kwenye 0732-993834 ili tuzungumze biashara
 
Wewe uko wapi mimi niko shinyanga sasa hivi, nina mtu ni mfanyabiahasahara ya dengu hadi tani 200, sijui kama uko serious nikutumie nikuunganishe nae,sasa hivi
 
Asanteni sana kwa wale mnaoendelea kuwasiliana nasi. Hakika JF ni rasilimali zaidi ya POKOPOKO. Shime tuitumie kujenga uchumi.

Order hii ni kubwa, naomba wale ambao hatujawasiliana wasisite kuwasiliana nasi.

 
Wewe uko wapi mimi niko shinyanga sasa hivi, nina mtu ni mfanyabiahasahara ya dengu hadi tani 200, sijui kama uko serious nikutumie nikuunganishe nae,sasa hivi

robwene,
Sijawahi na sitafanya masihala hata siku moja katika suala la biashara kwa kutumia JF. kwa ufupi niko zaidi ya SERIOUS!

Niunganishe na huyo mfanyabiashara kwa kunisaidia no. yake. Samahani, tumia 0732-99-38-34

 
Write your reply...bei ya unga wa dengu kwa kilo kwa sasa ni sh ngapi? Anayejua tafadhali anijibu bei kwa mkoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…