mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,292
- 798
Hahaha mkuu upo vzur bt civil c ndo hawa wanaolalama kla cku hawana ajira au kwa kuwa njian kuna magorofa unaona yanajengwa xawa mkuu ila jpange!
civil pia ataishia kufanya tempo za kufundisha olevel
sikuhizi kupata ajira ukitoa education(science) and medicine hao wengine ni kama bahati2 hakuna ule uhakika kwamba ukigraduate hapohapo unapata kaz hiyo haipo labda uwe umetengeneza connection vizur
sikuhizi kupata ajira ukitoa education(science) and medicine hao wengine ni kama bahati2 hakuna ule uhakika kwamba ukigraduate hapohapo unapata kaz hiyo haipo labda uwe umetengeneza connection vizur
Mkuu swali zuri hiliKwa Hiyo Nikusema Kwamba Mechanical Haina Dili
Ndugu hii ni course mpya na inapatikana UDSM peke yake Tz,naona watu wengi hawaijui ndio mana wanaibeza.Ila kiukweli ina ajira na pia inalipa vizuri tu.Tanzania kuna viwanda vingi ambavyo vinaendeshwa na mechanical engineers ambao kazi zao kubwa niku-run machines lakin kwa uchache wa industrial&management engineers utakuta hao mechanical engineers wemetulia ofisini wanafanya kazi ambazo mostly zinawahusu industrial engineers,na manager wa viwanda kwa Kawaida huwa wanakuwa industrial engineers kwa sababu kozi yao inahusika na industrial management(jinsi ya kumanage kiwanda),mkuu kasome ni kozi nzuri sana na mshahara wake ukiachana na kwa wahindi huwa unaanzia 1.2mNaomba mniambie kuhusu fakat ya industrial engineering ikoje na upande wa ajira pia vipi
Mkuu swali zuri hiliNdugu hii ni course mpya na inapatikana UDSM peke yake Tz,naona watu wengi hawaijui ndio mana wanaibeza.Ila kiukweli ina ajira na pia inalipa vizuri tu.Tanzania kuna viwanda vingi ambavyo vinaendeshwa na mechanical engineers ambao kazi zao kubwa niku-run machines lakin kwa uchache wa industrial&management engineers utakuta hao mechanical engineers wemetulia ofisini wanafanya kazi ambazo mostly zinawahusu industrial engineers,na manager wa viwanda kwa Kawaida huwa wanakuwa industrial engineers kwa sababu kozi yao inahusika na industrial management(jinsi ya kumanage kiwanda),mkuu kasome ni kozi nzuri sana na mshahara wake ukiachana na kwa wahindi huwa unaanzia 1.2m
mkuu una connection yyte na hawa jamaa?raisi tu kuongea embu ingia kitaani kidogo
mkuu una connection yyte na hawa jamaa?
mbn kaka ni kozi nzuri tu,nimemuuliz jamaa anasom hii kozi mlimaniNdio nnayo
mbn kaka ni kozi nzuri tu,nimemuuliz jamaa anasom hii kozi mlimani