Dadii
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 749
- 1,158
Heshima kwenu wakuu Jamvini.
Mimi ni mfugaji wa bata maji, nilianza si kwa minajli ya biashara ila kama kitoweo nyumbani. Lakini sasa wamekuwa wengi sana kiasi kwamba nashawishika kufuga kibiashara.
Nimejaribu kupita katika nyuzi za humu ndani ila sijapata haswa wapi soko la hawa bata, tafadhari mwenye kufahamu soko lake tujulishane wadau.
Natanguliza shukrani za dhati.
Mimi ni mfugaji wa bata maji, nilianza si kwa minajli ya biashara ila kama kitoweo nyumbani. Lakini sasa wamekuwa wengi sana kiasi kwamba nashawishika kufuga kibiashara.
Nimejaribu kupita katika nyuzi za humu ndani ila sijapata haswa wapi soko la hawa bata, tafadhari mwenye kufahamu soko lake tujulishane wadau.
Natanguliza shukrani za dhati.