Soko la biashara ya dagaa wakavu

Soko la biashara ya dagaa wakavu

deezekiels

Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
42
Reaction score
3
Naanza kwa salutation kwa wote, ninaanzisha biashara ya dagaa wakavu wakubwa wasafi, ninaanza na gunia 10.

Nipo Musoma mjini naomba mnijuze masoko ya bidhaa hii na kwa alie tayari kunitaarifu masoko na kushiriki nami aniPM.
 
Hongera kaka nasikia tunduma zinatoka sana maana kule wananunua watu wanapeleka Kongo jamhuri ya kidemokrasia.
 
Asante, waweza kuwa na mjasiliamali hiko tunduma anaehitaji bidhaa hii? Uniunganishe!
 
  1. [h=3]Biashara ya kusafirisha Dagaa kutoka Mwanza kuja Dar - Jamii Forums[/h]www.jamiiforums.com/.../286770-biashara-ya-kusafiri...


    Translate this page

    Jul 3, 2012 - 5 posts - ‎3 authors
    Usipokuwa mwangalifu, kuna uwezekano mkubwa sana wa pesa zako (mtaji) kuuachaMwanza! Madalali wa kuuza dagaa Mwanza sio ...Wakuu nauliza bei ya dagaa wa Kigoma ukiwa mkoani ...
    5 posts
    23 Apr 2014

    Habari Jf. Nataka nijaribu Biashara Ya Dagaa wa Mwanza ...
    5 posts
    25 Jan 2014

    Dagaa wa mwanza kwa chakula cha kuku
    5 posts
    9 Oct 2013

    Biashara ya dagaa kutoka Mwanza-Dar
    6 posts
    30 Mar 2012

    More results from www.jamiiforums.com





 
Back
Top Bottom