Soko la dagaa nyama mikoani

Soko la dagaa nyama mikoani

tst

Member
Joined
Jul 30, 2017
Posts
49
Reaction score
29
Habari wakuu!

Nina dagaa nyama wengi Sana kutoka Tanga,naomba munijuze wapi Kuna SOKO la uhakika kwenye mikoa yetuu.Pia wenye uzoefu wa biashara hii kwa mikoani.

View attachment 2113787
 
Mimi nataka lile vumbi la dagaa kwa ajili ya kuku unauzaje kwa kilo moja moja
 
Tafuta pesa wewe, dagaa ni dagaa tu…. hakuna dagaa wa nyama. [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
 
Mm uwa nauza dagaa sokon sasa dagaa uwa wanamajina ndio maana nimeita ivyo kwasababu ndio Nina lake LA utambulisho
 
Back
Top Bottom