fikirijohnas
Member
- Nov 10, 2018
- 46
- 29
Habari za muda huu!
Niko kwenye eneo linalozalisha zao la dengu na miezi ya mavuno imekaribia. Nimevutiwa na kufanya biashara ya kununua dengu kutoka kwa wakulima moja kwa moja.
Ninaomba kwa mwenye uzoefu wa biashara ya mazao hasa dengu, na hasa kuhusu soko na changamoto zake kwa kanda ya ziwa anisaidie.
Ahsanteni.
Niko kwenye eneo linalozalisha zao la dengu na miezi ya mavuno imekaribia. Nimevutiwa na kufanya biashara ya kununua dengu kutoka kwa wakulima moja kwa moja.
Ninaomba kwa mwenye uzoefu wa biashara ya mazao hasa dengu, na hasa kuhusu soko na changamoto zake kwa kanda ya ziwa anisaidie.
Ahsanteni.