Wengi wanatumia website ya BOT kama Guidline lakini mara nyingi inakuwaipo chini kuliko Maduka ya wafanya bashara.
Unaweza pia kutumia mitandao ya sim kama TIGO pia wanajitahidi kuweka kiwango cha muongozo.
Lazima ujue upo mji gani,unaweza kwenda Pale Posta kuna Bureau De change moja nimeisaha jina ila Rate nzuri sana.
Suala la jukua muda gani bei inapanda watakuja wachumi,ila mara nyingi ni kubahatisha.