Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Heshima kwenu wadau,
Ningependa kufahamu soko la hisa inapofika mwaka wa uchaguzi huwa linakuwa lina hali gani? huwa lina panda au huwa lina shuka. Kama huwa lina panda ni kwanini na kama huwa linashuka ni kwanini.
Stock market and election year.
By: SUPU YA MAWE
Ningependa kufahamu soko la hisa inapofika mwaka wa uchaguzi huwa linakuwa lina hali gani? huwa lina panda au huwa lina shuka. Kama huwa lina panda ni kwanini na kama huwa linashuka ni kwanini.
Stock market and election year.
By: SUPU YA MAWE
Last edited by a moderator: