milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Bwana Mushi;
1. Una elimu gani
2. Umri wako
3. Uzoefu wako kwenye biashara
4. Unafanya biashara Gani?
5. Utafanyaje ukichaguliwa, kutokuingiza siasa kwenye biashara?
6. Ni nini msimamo wako, kuhusu migomo ya wafanya biashara?
7. Saa100 ameruhusu raia wa kichina kufanya biashara za umachinga kariakoo, je utasaidiaje kuondoa ujinga huo?
8. Biashara sasa zinatakiwa kufanyika online! Ni nini uelekeo wako kuweza kuwasaidia vijana wasio na mitaji ya kuanzisha maduka kariakoo,kuweza kufanya biashara za online.
9. Umesema issue ya kuanzisha mabalozi wa nyumba kumi kumi! Huo ni ule mfumo wa CCM?
1. Una elimu gani
2. Umri wako
3. Uzoefu wako kwenye biashara
4. Unafanya biashara Gani?
5. Utafanyaje ukichaguliwa, kutokuingiza siasa kwenye biashara?
6. Ni nini msimamo wako, kuhusu migomo ya wafanya biashara?
7. Saa100 ameruhusu raia wa kichina kufanya biashara za umachinga kariakoo, je utasaidiaje kuondoa ujinga huo?
8. Biashara sasa zinatakiwa kufanyika online! Ni nini uelekeo wako kuweza kuwasaidia vijana wasio na mitaji ya kuanzisha maduka kariakoo,kuweza kufanya biashara za online.
9. Umesema issue ya kuanzisha mabalozi wa nyumba kumi kumi! Huo ni ule mfumo wa CCM?