Soko la kuku Mwanza kwenye mahoteli makubwa

1ndazMaterial

Senior Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
161
Reaction score
175
Hlw Habari wakuu,

Naitwa khalfan ni mkaz wa Mkoa wa simiyu mjini bariadi. Nawaza kuanza biashara ya kukusanya kuku vijijini na kuwatafutia soko mwanza kwenye mahotel makubwa.

Shida connection ndio sijui naipataje Ila nishaandaa mtaji wangu wa shl laki 5, nawaza nikipata tu connection niende bush kulangua kuku hao then niwapeleke moja kwa mmoja sehemu ambapo tawauziia basi naombeni msaada wenu wa connection ni hayo tu.

SHUKRN
 
Hongera kwa uthubutu,

Kutoka Simiyu na Mwanza si mbali mkuu,Funga safari kwa lengo la kujifunza zaidi kwa vitendo kuliko kusalia tu kuhtaji ushauri kwenye mitandao ya kijamii.

Ukienda mwenyewe utakutana na wengi ambao watakupa ABC'S za unachokikusudia.
 
Ni wazo zuri sana. Ila kwenye hotel nyingi wanapenda kuku wa kisasa au wale chotara, yaani wanataka kuku kwa ukubwa (kilo nyingi). Sasa kuku wa kienyeji wengi ni wadogo kiumbo na kwa kuwa bei ya kuwanunua ni kali, italazimu nao (hotel) wawauze bei kubwa, hivyo wateja inakuwa changamoto. Kwa hiyo unaweza boresha wazo lako kwa kununua kuku wa kisasa au wale saso na ukawa unawauzia watu wa hotel, maana hao saso wana kama ukienyeji hivi, ni rahisi wateja kudanganywa kuwa ni wa kienyeji. Unaenda kwa wafugaji na kukusanya kuku na kisha kupeleka hotel, ila kwanza nenda hotel ukapate oda. Hata kama kuku huna waambie unao, kwa kuwaaminisha, nenda hata na kuku 3 wakubwa (kilo 1.8 mpaka 2) waliochinjwa, wawe ndio sampo. Unawaambia una constant supply ila hela wakulipe jioni au baada ya siku 2 ili hiyo ndio uzungushie.
 
wazo zuri sana
 
Mahoteli Makubwa ndio yapi? Sema kwenye Baaa ila sio Hoteli zenye hadhi ya nyota 4 au 5 sijui kama zipo huko ila Hoteli za kitalii wanatumia kuku wa kisasa wa nyama na sio hao wa kienyeji, kuku wa kienyeji tafuta kwenye Baaa
 
Mwanza ni hotel chache Sana zinazotumia kuku wa kisasa(Malaika,waghill,gold crest,tilapia)
Hotel za hadhi ya kawaida na kwenye bar wanauza kuku wa kienyeji..
Tembelea maeneo haya Kwa ajili ya kupata oda..
Malikusema(mlango mmoja)
Stand ya nyamhongolo
Taiwan hotel,winstar ,city center,makumbusho,bar za nyakato,kirumba pita Victoria prince,villa park,satosangara,pita ze cask ...huko kote huwezi kukosa oda..kila la heri
 
Lazima ujiweke vizuri

MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 20,000 Kwa ajili ya connection.
Anatibu Kwa kutumia jinalako na mama Yako.
Kulingana na tatizo kubwa sana anaweza kukuambia uende Tanga mjini
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban
Karibuni PM/DM
Tatizo kubwa ni usumbufu wawatu
Kuja dm na kukimbia
kuuliza maswali yasiyona kichwa
waulizeni wenzenu niliowapa namba jinsi wamefanikiwa kimaisha.
watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto na conclude
mganga anatibu matatizo mengi ni ww kumweleza tatizo lako karibuni
 
Nicheki 0752093569
 
Iyo biashara pasua kichwa, bora uje na kuku wako ukawapange kwenye mabanda sokoni....kingine ujue madalali ni wengi sana kwenye izo mambo.
 
Tatizo la biashara hizo awalipi keshi inatakiwa unakuwa na mitaji 2 moja shamba mwingine sokoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…