Soko la kuku wa kienyeji

new age

Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
47
Reaction score
9
Habari zenu wakuu,

Natafuta soko la Kuku wa kienyeji kwa mikoa ya Dar, Tanga, Moro, Dom na Pwani. Kuku wapo kwa idadi yoyote itakayohitajika kwa bei nafuu ikiwa ni pamoja na usafiri hadi ulipo.

Bei; Matetea kuanzia Tshs. 13,000/=, Majogoo kuanzia Sh. 16,000/=. Pia kutakuwa na punguzo la Sh. 1,500/= kwa atakaechukua kuanzia Kuku 10 kila siku.

Niko Kibaha 0719 047 630 / 0767 047 630
 
Mkuu angalia bei yako vizuri kwa hapa dar msdalali wa kuku huchukua 10,000 EACh
 
Last edited by a moderator:


Mkuu nahitaji kuku wa kienyeji 14,000 naweza kuwapata kwa pamoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…