Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss kuku unauza kwanzia bei gani? Mimi Niko arusha nilikuwa taka kufaham kuhusu bei zakoNdugu zangu habari zenu, niko singida lakini natafuta soko la kuku mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, ikiwa uko na mtu ana uhitaji au wewe mwenyewe please DM me. Nitakuletea hadi mlangoni kwa idadi uitakayo na bei nzuri kabisa.
shari'ng is caring...