DOKEZO Soko la Machinga Toronto Tabora halina miundombinu rafiki ya biashara na kupelekea machinga kuweka biashara zao nje ya soko

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Soko hili linakadiliwa kujengwa kwa zaidi ya Milioni 500Tsh. Lina muda sasa vibanda vyake havifanyi kazi iliyokusudiwa kutokana na kuwa na miundombinu isiyo rafiki kwa ufanyaji biashara, hivyo kulazimu machinga kuweka biashara zao nje ya soko.

Mamlaka zifanye marekebisho na uboreshwaji wa soko.


 
1. Usifundishe waheshimiwa kazi,
2. Lips Kodi, mengine waachie waheshimiwa viongozi.
 
Jina "Toronto" na hilo soko havishabihiani kabsaa😇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…