Soko la mayai ya kienyeji (kiini cha njano na sio chotara)

Davedone

New Member
Joined
Oct 18, 2017
Posts
2
Reaction score
1
Habari za jumapili, poleni na kazi za wiki nzima. Nataka kuanzishaa biashara ya kuuza mayai ya kienyeje yale local kbss yani kiini cha njanoo na sio chotaraa. Naombeni ushauri ni wapi naweza pata soko lakee. Nawasilishaa ndugu zangu.
 
Nenda Mikocheni B Dar es Salaam, shuka kituo kinaitwa Business (B) au kwa Warioba pale- ingia mitaani kuna wadosi chungu nzima mitaa ile ya msikiti wa Mwinyi hadi ushindi Primary School kule watachukua mayai hayo
 
Nenda Mikocheni B Dar es Salaam, shuka kituo kinaitwa Business (B) au kwa Warioba pale- ingia mitaani kuna wadosi chungu nzima mitaa ile ya msikiti wa Mwinyi hadi ushindi Primary School kule watachukua mayai hayo
Sawa ahsante mkuu. Ngoja nitafte mwenyeji uko coz npo Arushaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…