Msaada nataka kuingia kwenye kilimo cha dengu ili kukidhi matakwa ya soko jipya lililopatikana huko India baada ya waziri mkuu wao kumtembelea " HAPA KAZI " Hivi majuzi ninaomba mtaalamu wa zao hili anipe madesa kuhusu kilimo hiki ikiwa ni pamoja na hali ya hewa , aina ya udongo unaofaa, mbolea if any, ugumu na urahisi wa kilimo hiki, mbegu , msimu wa upandaji, inachukua muda gani na inahitaji palizi ngapi,hekari moja iliyohudumiwa vizuri inauwezo wa kutoa gunia ngapi? natanguliza shukrani.