Ufugaji kwa Kwale (Quail) uko wa aina mbili
1. Kuna hawa Japanese Quails ambao ndiyo wanafugwa sana ukanda huu wa afrika mashariki, na hawa ni maarufu sana kwa mayai kwa kuwa wanataga mayai mengi takribani mayai 300 kwa mwaka lakini umbo lao ni dogo about 250g.
2. Kuna Jumbo Quails ambao hawa ni mahsusi kwa ajili ya nyama lakini utagaji wao wa mayai ni hafifu kidogo hawa hufika hadi 800g.
Kazi ni kwako kama utafuga wa nyama au mayai.
BTW: Kama unahitaji mayai ya Kwale wasiliana nami trey moja ya mayai 30 ni shilingi 20,000/=