Soko la ngozi za mifugo kama ng'ombe,mbuzi na kondoo.

Joined
Jul 12, 2013
Posts
43
Reaction score
13
Ndugu wadau napenda kujifunza kutoka kwenu kwa wale wenye kujua vizuli kuhusu biashara ya ngozi na soko lake.
Nataka kujua uitaji wake gharama ya manunuzi na gharama ya sokoni.
Na je! soko kuu liko wapi?
 
Tupe ekspiriensi uliyopitia moaka biashara yako ya ngozi kukua mkuu
Ndugu wadau napenda kujifunza kutoka kwenu kwa wale wenye kujua vizuli kuhusu biashara ya ngozi na soko lake.
Nataka kujua uitaji wake gharama ya manunuzi na gharama ya sokoni.
Na je! soko kuu liko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…