Soko la Nissan extral lazidi kuimarika bongo

NISSAN X-TRAIL NDIO GARI NINAYO TUMIA SANA KWA SASA, KIUKWELI INA CHANGAMOTO JAPO KWA MTAZAMO WANGU BODY YAKE NI NZURI.
 
NISSAN X-TRAIL NDIO GARI NINAYO TUMIA SANA KWA SASA, KIUKWELI INA CHANGAMOTO JAPO KWA MTAZAMO WANGU BODY YAKE NI NZURI.
Ukifunguka kuhusu hizo changamoto na namna ambavyo umezitatua utasaidia wengi sana! Karibu!
 
Acha mtazamo potofu kwani kuna sehemu wameandika for me au for ke, kushikiwa akili kwa watanzania ndo kumesababisha tumefikia hapa.
Usibishane na watu wa namna hii...
Watu wa namna hii wamezaliwa wakakuta magari yamejaa uwani kwao...hajui baba yake alienyeka vipi kuyapata...hajui baba yake alitoa mmoja wa ndugu zake kafara au la....ndiyo maana anakuwa na ujasiri wa kusema gari la kike..

Mwanaume wa kweli aliyenunua passo kwa msoto, hawezi kudharau gari la mtu yoyote...maana anajua msoto wa kununua gari ulivyo..
 
Povu la nini sasa? hivi unaweza kupark Extrail mahali iliposimama Harrier Lexus 2.4
hata uimara wa body mbali sana, comfortability mbali pia,naona leo mashabiki wa xtrail mnajipongeza uongo
 
Povu la nini sasa? hivi unaweza kupark Extrail mahali iliposimama Harrier Lexus 2.4
hata uimara wa body mbali sana, comfortability mbali pia,naona leo mashabiki wa xtrail mnajipongeza uongo
Kwa nini usiipaki......kwani haina parking break..??

Na istoshe hiyo Land cruiser mwenzake ni Nissan Patrol......Harrier kwa Murano..

Xtrail wenzake wakina RAV 4 na Clugger...

Sasa mahali mtu amepaki RAV 4 yenye matege, kwa nini mwenye x trail asipaki..?

Hebu lete sababu ambazo ni genuine zinazoshawishi..?
 
Follow my Nissan X-Trail fan page on instagram: @xtrailnationtz
Could you please share your experience because not all Jamiiforums users have access to Instagram. Thanks
 
4WD ya hii gari haijawahi niangusha, hizi gari watu wamezipaka tope kweli lakini kwa wanaomiliki wanazijua.

Ukizingatia taratibu zote za utumiaji wa chombo cha moto you can reach 50yrs with x trail
You're damn right!
 
Hii gari kwa kweli haina changamoto yoyote iliyotofauti na gari nyingine, mimi ninayo mwaka wa 6 sasa, sijafanya chochote zaidi ya kubadilisha sensor za gia box na cam shaft basi, na ninasafiri nayo mara nyingi sana mikoani na nchi zq jirani. Hata hilo swala la kuchemsha mimi kwangu sijaliona, huwa nasikia tu kwa watu, tena anakuambia hilo wengi hawamiliki hiyo gari. Coolant tangu nimeweka ina zaidi ya miezi 6 na nimesafiri iringa, mtwara, moshi na sijagusa chochote zaidi ya service ya oil tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu unaweza kushare details za fundi wako mahsusi unayemtumia kuservice x trail yako....
 
WAMILIKI WA NISSAN TUIENDE GROUP wasapu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…