Kijana ushe2
Senior Member
- Apr 6, 2017
- 179
- 127
Ndugu wanajopo habari za siku nyingi na pilikapilika za kulijenga taifa letu la uchumi na viwanda .
Naomba mawaziri na manaibu mawaziri waliopo humu wajaribu kufuatilia kuna wananchi kanda ya ziwa wameuza pamba kwa mkopo mpaka sasa hawajapata hela yao lakini pamba imeshatolewa kwenye stoo za kuhifadhia na kusababisha tafurani wananchi wa kijijini hawajui chochote viongozi wa chini wanaangalia tu na madiwani wanaangalia tu.
Matukio haya yanatokea kwingine wahasibu wanaomba rushwa kwa kila shilingi 30000 atakayopata mkulima kuna 7000 hapo ni katika kata ya kisuke tarafa ya dakama kijiji cha itumbo halmashauri ya ushetu viongozi pia kuna sehemu kama ya kinamapula kata ya kinamapula wameuza tangu june 30 mpaka leo hii hawajapata fedha yao viongozi walio na rungu angalieni hawa ni walala hoi wenzangu na pia ndio wanategemea hapo hata kama ni mia 300 wapewe wamehangaika kwa muda wa miezi mingi lakini hawajalipwa hela yao.
Mwananchi mtiifu
Ushetu ndio nyumbani na mtetezi wa wakulima aliendelezwa kwa sababu ya kilimo
Naomba mawaziri na manaibu mawaziri waliopo humu wajaribu kufuatilia kuna wananchi kanda ya ziwa wameuza pamba kwa mkopo mpaka sasa hawajapata hela yao lakini pamba imeshatolewa kwenye stoo za kuhifadhia na kusababisha tafurani wananchi wa kijijini hawajui chochote viongozi wa chini wanaangalia tu na madiwani wanaangalia tu.
Matukio haya yanatokea kwingine wahasibu wanaomba rushwa kwa kila shilingi 30000 atakayopata mkulima kuna 7000 hapo ni katika kata ya kisuke tarafa ya dakama kijiji cha itumbo halmashauri ya ushetu viongozi pia kuna sehemu kama ya kinamapula kata ya kinamapula wameuza tangu june 30 mpaka leo hii hawajapata fedha yao viongozi walio na rungu angalieni hawa ni walala hoi wenzangu na pia ndio wanategemea hapo hata kama ni mia 300 wapewe wamehangaika kwa muda wa miezi mingi lakini hawajalipwa hela yao.
Mwananchi mtiifu
Ushetu ndio nyumbani na mtetezi wa wakulima aliendelezwa kwa sababu ya kilimo