Soko la samaki aina ya kambale likoje?

Soko la samaki aina ya kambale likoje?

Kwa mtu yeyote anayeniuliza kuwa soko la kambale lipo wapi huwa namuuliza pia ni samaki gani huwa hna soko?

Masoko ya samaki hsa kambale ni mengi 2 sema unahitaji ubunifu pia kuweza kuuza samaki wako kwa bei ya juu.

Mfano wenzetu wakenya na waganda wamefikia atua ya kutengeneza fillets, Sourage, kababu na sharif za kambale. Ni product ambayo kenya imepata soko kubwa sana.

Watz tunahtaji ubunifu katika masoko pia.

Hakuna anayeweza kuzalisha kambale Tanzania hii wakuweza tosheleza soko la ndani pekee.

Soko pia linadepend upo wap.

Mfano. Kuna mfugaji wa kambale yupo tabora. Yeye huuza kambale wa 300g to 500g kwa 2000. Hwa wanakuwa wamefugwa kwa miez isiyozid 4. Na huwauza katika soko la tabora pekee. Yeye hufanya over stocking ambapo unakuta bwawa 1 lina samaki 10000. Kwa hesab ya hraka anapata earning ya 20,000,000tsh ndani ya miez 4. Na anazaidi ya mabwawa 3.

Kama soko la bongo linazingua waweza uza hta uko kenya ambapo kilo ya kambale ipo around. 10000 to 12000tsh. Wajaluo mboga yao kuu ni kambale.
 
We should make ka network ka biashara mfano hiyo kambale anae kua tayari tunakua kakikundi tunafanya biadhara my number is 0754 940 547 siku zote umoja ni nguvu Na mkiwa Na nguvu mnsfanikiwa
 
Kwa mtu yeyote anayeniuliza kuwa soko la kambale lipo wapi huwa namuuliza pia ni samaki gani huwa hna soko?

Masoko ya samaki hsa kambale ni mengi 2 sema unahitaji ubunifu pia kuweza kuuza samaki wako kwa bei ya juu.

Mfano wenzetu wakenya na waganda wamefikia atua ya kutengeneza fillets, Sourage, kababu na sharif za kambale. Ni product ambayo kenya imepata soko kubwa sana.

Watz tunahtaji ubunifu katika masoko pia.

Hakuna anayeweza kuzalisha kambale Tanzania hii wakuweza tosheleza soko la ndani pekee.

Soko pia linadepend upo wap.

Mfano. Kuna mfugaji wa kambale yupo tabora. Yeye huuza kambale wa 300g to 500g kwa 2000. Hwa wanakuwa wamefugwa kwa miez isiyozid 4. Na huwauza katika soko la tabora pekee. Yeye hufanya over stocking ambapo unakuta bwawa 1 lina samaki 10000. Kwa hesab ya hraka anapata earning ya 20,000,000tsh ndani ya miez 4. Na anazaidi ya mabwawa 3.

Kama soko la bongo linazingua waweza uza hta uko kenya ambapo kilo ya kambale ipo around. 10000 to 12000tsh. Wajaluo mboga yao kuu ni kambale.

Si mboga yetu kuu ila tunawapenda. Sisi hula zaidi Sato, sangara na dagaa kuliko kambale.
 
Kwa mtu yeyote anayeniuliza kuwa soko la kambale lipo wapi huwa namuuliza pia ni samaki gani huwa hna soko?

Masoko ya samaki hsa kambale ni mengi 2 sema unahitaji ubunifu pia kuweza kuuza samaki wako kwa bei ya juu.

Mfano wenzetu wakenya na waganda wamefikia atua ya kutengeneza fillets, Sourage, kababu na sharif za kambale. Ni product ambayo kenya imepata soko kubwa sana.

Watz tunahtaji ubunifu katika masoko pia.

Hakuna anayeweza kuzalisha kambale Tanzania hii wakuweza tosheleza soko la ndani pekee.

Soko pia linadepend upo wap.

Mfano. Kuna mfugaji wa kambale yupo tabora. Yeye huuza kambale wa 300g to 500g kwa 2000. Hwa wanakuwa wamefugwa kwa miez isiyozid 4. Na huwauza katika soko la tabora pekee. Yeye hufanya over stocking ambapo unakuta bwawa 1 lina samaki 10000. Kwa hesab ya hraka anapata earning ya 20,000,000tsh ndani ya miez 4. Na anazaidi ya mabwawa 3.

Kama soko la bongo linazingua waweza uza hta uko kenya ambapo kilo ya kambale ipo around. 10000 to 12000tsh. Wajaluo mboga yao kuu ni kambale.
Hii imekaa vizuri...kuongeza thamani kwenye mazao ya samaki. Binafsi nipo kwenye hatua ya uchimbaji mabwawa kwa ajili ya ufugaji... hili wazo la kuongeza thamani ntalifanyia kazi kumbe naweza kuwa na kiwanda aisee
 
Kwa mtu yeyote anayeniuliza kuwa soko la kambale lipo wapi huwa namuuliza pia ni samaki gani huwa hna soko?

Masoko ya samaki hsa kambale ni mengi 2 sema unahitaji ubunifu pia kuweza kuuza samaki wako kwa bei ya juu.

Mfano wenzetu wakenya na waganda wamefikia atua ya kutengeneza fillets, Sourage, kababu na sharif za kambale. Ni product ambayo kenya imepata soko kubwa sana.

Watz tunahtaji ubunifu katika masoko pia.

Hakuna anayeweza kuzalisha kambale Tanzania hii wakuweza tosheleza soko la ndani pekee.

Soko pia linadepend upo wap.

Mfano. Kuna mfugaji wa kambale yupo tabora. Yeye huuza kambale wa 300g to 500g kwa 2000. Hwa wanakuwa wamefugwa kwa miez isiyozid 4. Na huwauza katika soko la tabora pekee. Yeye hufanya over stocking ambapo unakuta bwawa 1 lina samaki 10000. Kwa hesab ya hraka anapata earning ya 20,000,000tsh ndani ya miez 4. Na anazaidi ya mabwawa 3.

Kama soko la bongo linazingua waweza uza hta uko kenya ambapo kilo ya kambale ipo around. 10000 to 12000tsh. Wajaluo mboga yao kuu ni kambale.
safi sana value addition imekaa vyema Asante kwa wazo lako Zuri mdau
 
Back
Top Bottom