Soko la samaki na dagaa wa kukaanga Arusha na Dar

christmas

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2011
Posts
2,701
Reaction score
1,280
Wakuu karibuni tunasambaza samaki na dagaa waliokaanga na kupakiwa vizuri kwa mikoa ya Dar na Arusha kwa order utakayotupatia.

Dagaa na samaki wote wanatoka ziwa Victoria na pia kwenye ukaangaji vinawekwa vikorombwezo kibao hakika utaenjoy!!!

Karibuni kwa order wakuu

Mawasiliano 0765 099627
 
wakuu karibuni dagaa bado wanapatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…