Au akaote moto!Nenda kazime
Nakumbuka lilipoungua solo la Mwanjelwa, Waziri mmoja anayehusika na maafa alikwenda na akaanza kutoa kejeli kama zako, kumbukumbu zinanioshesha alibaki mbeya.!!!duh... na zile frame zao za mbao si kesho patakuwa ni majivu