Soko la Sido laungua moto jijini Mbeya

Dah watakuwa wamechoma ili jengo lao walojenga watu mapange, coz upande unaoungua sio upande wa walikojenga soko lao. Kama walvochomaga mwanjelwa ths tm wamechoma sido.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sido juzi juzi tu imetoka kuungua, leo ni mara ya pili

Yes am cunt, next question?
 
Habari za muda huu wakuu?
Habari nilizozipata kutoka mkoani mbeya ni kua soko la sido linaungua moto


Kwa mliopo huko tunaomba taarifa zaidi
 
Umasikini utakithiri sana awamu hii
 
tena soko hilo ni mara ya pili kuungua sasa, na ukiangalia wafanya biashara wengi wa hilo soko wanaishi kwa mikopo ya bank.
 
Nakumbuka lilipoungua solo la Mwanjelwa, Waziri mmoja anayehusika na maafa alikwenda na akaanza kutoa kejeli kama zako, kumbukumbu zinanioshesha alibaki mbeya.!!!
Naikumbuka hii mkuu,nasikia roho yake iliacha mwili akiwa Mbeya.

Philips X2560
 
Bebeni ndoo mkazime moto sio mnajisifia kula sana
 
Nakumbuka lilipoungua solo la Mwanjelwa, Waziri mmoja anayehusika na maafa alikwenda na akaanza kutoa kejeli kama zako, kumbukumbu zinanioshesha alibaki mbeya.!!!

ngoja mabomu na risasi vikiisha ndo tukaonne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…