Soko la ubuyu la uhakika lipo wapi hapa Tanzania?

Soko la ubuyu la uhakika lipo wapi hapa Tanzania?

KING KIGODA

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2018
Posts
3,893
Reaction score
3,145
Habari wakuu! Nimekuwa nikitafuta soko la uhakika la ubuyu ambao bado ni malighafi kwa miaka 4 sasa bila ya kufanikisha.Maeneo nilipo malighafi hii ya ubuyu upatikana kwa wepesi na kwa bei ya chini kiasi ambacho natamani kufanya biashara hiyo.

Basi naomba kwa mwenye kujua soko la uhakika la bidhaa hiyo lilipo,aweke hapa kwa faida ya wengi.

Asanteni.
 
Habari wakuu! Nimekuwa nikitafuta soko la uhakika la ubuyu ambao bado ni malighafi kwa miaka 4 sasa bila ya kufanikisha.Maeneo nilipo malighafi hii ya ubuyu upatikana kwa wepesi na kwa bei ya chini kiasi ambacho natamani kufanya biashara hiyo.

Basi naomba kwa mwenye kujua soko la uhakika la bidhaa hiyo lilipo,aweke hapa kwa faida ya wengi.

Asanteni.
Peleka malawi mkuu,hutojuta
 
Upo mkoa ganimkuu, mimi nipo Pemba na soko la ubuyu ni zuri tu huku na Zanzibar kwa ujumla. Weka no zako nikutafute
 
Back
Top Bottom