Mkuu huo ufuta umeuhifadhi au ndo unauvunaNawasilisha wanaJf ..kwa yeyote anayejua soko la watu wanaonunua ufuta au nnaweza kupata vipi wanunuzi tafadhali naomb niambiw.
Unao tan ngapi?Nmeshauvuna mkuu uko store
unauliza tani ngapi, uliza anao kiasi gani maana ukiuliza tani unaweza kumkatisha tamaaUnao tan ngapi?
Uko wapi na mzigo ni kiasi gani?Nmeshauvuna mkuu uko store
Unanunua kiasi gani mkuuUko wapi na mzigo ni kiasi gani?