Salaam wakuu. Kuna jamaa yangu amelima ulezi anao mwingi sana upcountry. Wanaodeal na mazao naulizeni soko la hapa mjini likoje, kuna mteja Wa kuweza kununua gunia 50 kwa pamoja? Bei ikoje? Natanguliza shukrani.
Nenda Mbozi rd keko, uliza wahindi wanaonunua hio habari! Au fika kioo ltd, iwe mkono wa kushoto nyosha na hiyo barabara hadi mwisho inafika kwenye kwnye hilo geti! Nimesahau jina la hiyo kampuni
Nenda Mbozi rd keko, uliza wahindi wanaonunua hio habari! Au fika kioo ltd, iwe mkono wa kushoto nyosha na hiyo barabara hadi mwisho inafika kwenye kwnye hilo geti! Nimesahau jina la hiyo kampuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.