Soko la Ulezi

Soko la Ulezi

Rene Jr.

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
3,714
Reaction score
2,376
Salaam wakuu. Kuna jamaa yangu amelima ulezi anao mwingi sana upcountry. Wanaodeal na mazao naulizeni soko la hapa mjini likoje, kuna mteja Wa kuweza kununua gunia 50 kwa pamoja? Bei ikoje? Natanguliza shukrani.
 
Nenda Mbozi rd keko, uliza wahindi wanaonunua hio habari! Au fika kioo ltd, iwe mkono wa kushoto nyosha na hiyo barabara hadi mwisho inafika kwenye kwnye hilo geti! Nimesahau jina la hiyo kampuni
 
Nenda Mbozi rd keko, uliza wahindi wanaonunua hio habari! Au fika kioo ltd, iwe mkono wa kushoto nyosha na hiyo barabara hadi mwisho inafika kwenye kwnye hilo geti! Nimesahau jina la hiyo kampuni
Thanks Mkuu, nitawafuatilia!
 
Back
Top Bottom