Alpha! Hapa kuna mtu kulizwa asee!!
Una gunia zaidi ya mia 5 na hujui soko lake!!?
Huko uliko hakuna soko kuu?
Mpka ufikishe gunia zaid ya hizo ni lazima utakuwa mkongwe kwenye vitunguu!
Haya wasubiri wanakuja pm ili mfanye biziness
Sent using
Jamii Forums mobile app