Soko la vitunguu maji

alfa A

New Member
Joined
Mar 28, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Habar ndugu zangu..poleni na pilika..Niko hapa na ishu ya vitunguu maji ivo basi Kama kuna mdau ambae anaeweza kua na mtandao mzur wa wanunuz wa vitunguu naomba tuwasiliane ikiwezekana tufanye kazi..Nina Zaid ya guni 500 za vitunguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alpha! Hapa kuna mtu kulizwa asee!!
Una gunia zaidi ya mia 5 na hujui soko lake!!?
Huko uliko hakuna soko kuu?
Mpka ufikishe gunia zaid ya hizo ni lazima utakuwa mkongwe kwenye vitunguu!
Haya wasubiri wanakuja pm ili mfanye biziness

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…