Salaam,
Natafuta soko la vitunguu popote East Africa, Niko tayari kuuza gunia kwa Tsh 95,000/= kama order ni kubwa sana mpaka Tsh 120,000/=. ( Bei inaweza kuongezeka yote yanategemea na uko wapi na utapenda kununulia nilipo au kuletewa). Nafanyia Production Mkoa wa Arusha na Kilimanjaro.
Nakaribisha Mawazo,