Soko: Viatu vya ngozi halisi toka Kyela Mbeya

Radio Producer

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2011
Posts
726
Reaction score
320
Amaki Shoes Makers watengelezaji wa viatu halisi vya ngozi vya kike na kiume, wanapokea order kwa viatu vya shule n.k Wanauwezo wa kusuply pair 2500 kwa miezi miwili. Bei ni poa sana tena sana unangoja nini jamani?
Kwa mawasiliano ni PM au andika email: radioproducer@rediff.com

 
Havipindi na kuota manundu baada ya muda mfupi???
 
Wachagga pale Moshi wanavitengeneza sana viatu vya aina hii, lakini shida yake ni kuwa hewa ikiwa na humidity kidogo tu vinaota UKUNGU, na asubuhi unaweza ukavikataa kama ndiyo ulivyovaa jana!
Hapo ndipo utaona tofauti ya Local Brew na Brandy!
 
Viatu vya namna hiyo wanaweza Waitaliano, sasa mmbongo kucopi kwa kutumia semi-processed cow hide siyo professionalism na wala havivutii wanunuzi; kwa vile huyo mtengenezaji anaonekana anauwezo mzuri wa kucheza na ngozi, anatakiwa awe mbunifu atengeneze viatu ambavyo viko unique na viwe kiasili zaidi, hapo itakuwa rahisi kpata soko la uhakika la nje na ndani.
 

wakati watanzania wanajitahidi kutumia malighafi zetu kutengeneza finished goods wewe unawabeza, that is colonial legacy
 
wakati watanzania wanajitahidi kutumia malighafi zetu kutengeneza finished goods wewe unawabeza, that is colonial legacy

Kaka hiyo finished good haiko original, angalia hivyo viatu; vyote amekopi design za waitu, tena katika ubora wa hali ya chini! Simkatishi tamaa, nampa moyo awe mbunifu, viatu kama hivyo hawezi kuuza nje ya mbozi, hata wewe kaka hicho kiatu hauwezi kununua-they look cheap and unoriginal!
 
Mnaoleta beza mmeviona ua kuvivaa au ndiyo picha hiyo ina ukungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…