Sokoine na Kolimba, vifo vyao vilimkera Mwalimu kiasi gani?

Kuna nchi walikuwa na Propaganda kama Urusi lakini ilifika mahala ikakatika vipande,CCM wenyewe wamefuta kitengo cha propaganda tunataka tuone nyie masalia katika nyakati hizi kama mutaweza kwa propaganda uchwara jipangani manake watanzania tumeamuka

Source : Froida
 
acha uchochezi ww lete mada za kujikomboa na umaskini si uchochezi.
 
Huyu alikua katibu mkuu wa CCM. Mwanachama mwadilifu na msema kweli. Siku za mwisho za uhai wake alidiriki kusema waziwazi kua CCM haina dira wala mwelekeo na pia alikua tayari kukihama chama na kua mpinzani. Lakini baada ya kauli yake hiyo haukupita muda mrefu akapatwa na umauti katika mazingira ya kutatanisha. Kwa maelezo haya machache najiuliza maswali yafuatayo na naomba kwa yeyote mwenye kujua anisaidie kunielimisha:

1. Kwa nini watu wanaokipa changamoto chama (na serikali) hupoteza uhai wao?

2. Ni lini raia wa kawaida ataweza kupaza sauti yake bila kukumbwa na mkondo huu (kifo)?

3. (Kwa anaejua) kifo cha komba kilitokea vipi na kwa nini?

Mwisho natanguliza samahani kwa atakayekwazika maana nataka kujifunza ili niujue mfumo wetu wa kiuongozi na kiutawala. Asanteni, nawasilisha.
 

kwanini mnatumia nguvu nyingi sana kujaribu kushut down mijadala yoyote kuhusu chama cha kususa na kuandamana,kuna nini hapa hamtaki kijulikane kwani?halafu mgombea wa jimbo la kibaha ni nani huyo na kwa uchaguzi upi labda?
 

jamani hiyo kauli si imetoka jikoni lakini?tatizo nyie chadema yenu mnaifanyia kwenye kata hamko jikoni,nyie wote ni chadema kata ndio mana hamtaki kujadili kauli mnanijadili mimi tarishi..
 
Ha ha ha hii ni JF ukileta za kuleta unapashwa mpaka basi zungumzia mambo ya muhimu kwa taifa letu sio watu huko tumetoka na hatutageuka nyuma mleta mada hovyooooooooooo
mambo muhimu kwenu ni kufeli kwa mtoto wa mwenyekiti wa ccm taifa si ndio mnayoyapenda au sio mzee?
 
kwanini mnatumia nguvu nyingi sana kujaribu kushut down mijadala yoyote kuhusu chama cha kususa na kuandamana,kuna nini hapa hamtaki kijulikane kwani?halafu mgombea wa jimbo la kibaha ni nani huyo na kwa uchaguzi upi labda?

Shut up!
 
jamani hiyo kauli si imetoka jikoni lakini?tatizo nyie chadema yenu mnaifanyia kwenye kata hamko jikoni,nyie wote ni chadema kata ndio mana hamtaki kujadili kauli mnanijadili mimi tarishi..

Huna hata sifa ya kuwa tarishi.
 
Basi chadema ni untouchable humu jf,na hapo ndio hamjashika dola je mkishika dola mtakua na simile na watu wenye mawazo tofauti na yenu kweli nyie?ndio wananchi wanakiogopa chama chenu kutokana na kutawaliwa na ubabe ikiwemo kumwagia tindikali usoni wasiokubaliana nyie...

[h=3]KADA WA CCM ALIYEMWAGIWA TINDIKALI NA WAFUASI WATIIFU WA CHADEMA IGUNGA AREJEA NCHINI KUTOKA INDIA BAADA YA MATIBABU YALIYOGHARAMIWA NA CCM..[/h]

MKAZI wa Igunga, Kada wa CCM, Mussa Tesha aliyekuwa nchini India kwa matibabu baada ya kumwagiwa tindikali usoni na wafuasi watiifu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADAEMA), wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo jimboni humo (Igunga) mwaka jana, akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam, baada ya kurejea nchini. Kulia ni Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba ambaye alikuwa Meneja wa Kampeni za CCM jimboni humo.
 
mambo muhimu kwenu ni kufeli kwa mtoto wa mwenyekiti wa ccm taifa si ndio mnayoyapenda au sio mzee?
*Kufeli kwa mtoto wa first lady, ambaye proffesional yake ni ualimu.
*kufeli kwa mtoto ambaye baba yake ni Rais wa nchi.
Hiyo kwako unalioma jambo linalopaswa kunyamaziwa? Bali unaona ya zitto kabwe ndio habari kwako,Umetumwa na NANI.....?
 
Mimi nawapenda CCM ,imeshehena watu makini zaidi ya vyama vyote!!!!!!!!!!!!!! kasoro zilizopo naamini zitatatuliwa kidemokrasia....hata wale mafisadi watakubali kuambiwa ukweli na kukaa pembeni kama alivyofanya ROSTAM AZIZ bila kuharibu misingi yake!!!!!!!!!!!!!!!!! Pia nitagombea UBUNGE mwaka 2015 kuongeza nguvu na kuimarisha uchumi wa TAIFA langu.....Tunajenga CCM ya VIJANA ambao wataendana na kasi ya mabadiliko ya kitechnolojia na mfumo wa siasa za kisasa zaidi!!!!!!!!!!!!!!!!
 
*Kufeli kwa mtoto wa first lady, ambaye proffesional yake ni ualimu.
*kufeli kwa mtoto ambaye baba yake ni Rais wa nchi.
Hiyo kwako unalioma jambo linalopaswa kunyamaziwa? Bali unaona ya zitto kabwe ndio habari kwako,Umetumwa na NANI.....?
La hasha si la kunyamaziwa bali yote yapewe uzito unaostahili tu ndio ombi langu,yule mtoto kufeli ni kielelezo tosha kwamba babake hashiriki mchezo mchafu wa wizi wa mitihani kama watz wengi walivyozoea mtoto wa mkubwa huwa hafeli..
 
Kwanza nampa pole nyingi ndugu yetu huyu na kumtakia maendeleo mema kiafya.mungu amsaide ili aweze kurudi katika siha njema kama awali.

*Mkuu unapaswa kuheshimu mahakama,huna uthibitisho wa tuhuma hizi, na mpaka sasa bado jambo hili liko mlkononi mwa vyombo husika vya dola kwa uchunguzi kamili.hivyo hizi ni tuhuma tu,
Kama ubabe uko kwenu ccm ambao mnapanda kwenye majukwaa na bastola vibindoni mfano halisi ni mh,Rage.
Mnawafokea waheshimiwa bungeni bila heshima nas kuwaambia "wametumwa" mfano halisi
Ni Mh omar nundu, waziri wa uchukuzi.
 

You aree OFF TRUCK. Taarifa zako hazina ukweli wowote.
 

suala mbona liko wazi hata mhusika mwenyewe alitamka wazi kwamba wafuasi watiifu wa chadema ndio waliommwagia tindikali usoni na kumtia ulemavu unadhani kwa nini hakuwataja nccr mageuzi?ina maana wewe unajua kuliko yeye alieumia wakati hukuwepo hata eneo la tukio..msirudie tena mambo haya ya kipuuzi huko arumeru,muwaonye wafusi wenu nasikia wamepania kufanya vurugu huko
 

Kazi unayofanya ni ngumu sana.Kupika majungu na fitna sio mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…