Sokoine university of agriculture

British economist

Senior Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
104
Reaction score
14
Naomba mnijuze wale wanaosoma bsc in agricultural economics and agribness ajira yake ni wapi hasa.
Na ni vitu gan nije navyo wakati wa kulipoti ukiacha ada na michango
je kuna haja ya kuja na madaftari kama counterbook
 
Naomba mnijuze wale wanaosoma bsc in agricultural economics and agribness ajira yake ni wapi hasa.
Na ni vitu gan nije navyo wakati wa kulipoti ukiacha ada na michango
je kuna haja ya kuja na madaftari kama counterbook

hahahahaahaahaaha ngoja nicheke kdgo..! Kuhucu ajira hiyo course mnaajiriwa serikalini kama walimuu wanavyoajiriwaa! So kaza dgo
 
Naomba mnijuze wale wanaosoma bsc in agricultural economics and agribness ajira yake ni wapi hasa.
Na ni vitu gan nije navyo wakati wa kulipoti ukiacha ada na michango
je kuna haja ya kuja na madaftari kama counterbook

daahh dogo hongera kwa kupata kozi ambayo hata mimi mwenyewe niliipenda...bank yoyote unayoijua ww inakuhusu,wizara ya kilimo,fedha,BOT(mfano kimei kabla ya kwenda crdb alikuwa hapa),UNO(ndo wamejazana sana huko,NGOs kibao za kilimo na ktk long run wawekezaji watakuwa wengi zaidi kwenye kilimo kutokana na hii sera ya kilimo kwanza,ddaahh yani kwa ufupi ni bonge la kozi na kamwe hukufanya makosa kuichagua mdogo wangu....nenda kapige buku alafu ukimaliza ukipata shavu usinisahau....
 
nashkuru wakuu.....
Eti UPANDE WA ADA HUWEZI UKALIPA NUSU THEN UTAMALIZIA SEMSTA INAYOFUATA AU MFUMO WA ULIPAJI UKOJE??
 
Naomba mnijuze wale wanaosoma bsc in agricultural economics and agribness ajira yake ni wapi hasa.
Na ni vitu gan nije navyo wakati wa kulipoti ukiacha ada na michango
je kuna haja ya kuja na madaftari kama counterbook
Hongera kaka mwenyewe nimechaguliwa faculty hiyo hiyo kama vp nichek kupitia 0763886451 au 0712485297 angalau tufarijiane n tufahamiane mkubwa. am Aboubakar
 
Mwenzangu hujapotea njia kuja SUA but SUA haijakaa kichuochuo yaani kula bata,kuchukua madem, kunenepeana kwa viela vya BOOM! na stareh zngne bt ni mwendo wa kukaza tofauti na hapo discontn iko nje nje! com wth Bible or Quruan!(ila sio chuo cha dini)
 
Dogo beba yote macount book,madaftar ya uchumi ya advance,ambilikile yako,mganda yako,modern economic yako coz SUA na tawi lake la MUCCoBS ndo vyuo vimebaki kuwa vyuo tanzania..mimi mwenyewe niliomba iyo course second priority baada ya 1st priority ya Baaf Muccobs ambayo ndo nagonga..kapige shule haujakosea njia kabisaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…