Kwanza jiulize:
Kwa enzi hizi za utandawazi upatikanaji wa mali sio tatizo kubwa, inategema na namna gani wewe umejipanga kwani tofauti kati ya wazalishaji zipo katika ubora, bei n.k.
- Je, una ufahamu wa masuala hayo ya umeme-jua? Aina fulani ya utaalamu ni muhimu
- Je, una mpango mkakati (strategic plan) wa nini unataka kufanya?
- Umefanya utafiti kuhusu soko (market survey)? Hapa utasaidika katika kuamua unatarajia kuhusika na wateja wa aina gani (wakubwa, wa kati au wadogo) na pricing mechanism.
Senti zangu hamsini!