puttin
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 226
- 366
What if TCRA wakianzisha leseni ya umiliki wa simu
Viambatanisho.-
1.Cheti cha daktari cha kuonyesha afya ya akili yako
Na vinginevyo watakavyoona vinafaa then wanatoa Class za umiliki wa leseni kulingana na Attachment zako
mfano mtu kama Musiba anapewa Class 'Z" yaani huyo atakuwa anaenda kupiga simu vibandani tu haruhusiwi kumiliki hata Kitochi
Amber ruti na wenzie Wafananae wanapewa Class X yaani hao hawaruhusi kumiliki simu zaidi ya jamii ya Nokia ya Tochi.Class X hauruhusiwi kumiliki Smatifoni kabisa ukikutwa ni Cheti
Naomba kuwasilisha....
Viambatanisho.-
1.Cheti cha daktari cha kuonyesha afya ya akili yako
Na vinginevyo watakavyoona vinafaa then wanatoa Class za umiliki wa leseni kulingana na Attachment zako
mfano mtu kama Musiba anapewa Class 'Z" yaani huyo atakuwa anaenda kupiga simu vibandani tu haruhusiwi kumiliki hata Kitochi
Amber ruti na wenzie Wafananae wanapewa Class X yaani hao hawaruhusi kumiliki simu zaidi ya jamii ya Nokia ya Tochi.Class X hauruhusiwi kumiliki Smatifoni kabisa ukikutwa ni Cheti
Naomba kuwasilisha....