Kiba anazo kama hizo 5 sema ile kauli yake ya sipendagi show off ikamjia kichwaniWcb walishatunga kama mbili za kutabili janga la Corona ila Sallam na Babu tale walikataa Zisitoke eti wangeipa Corona Kik
Kwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao.
Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli
πππWcb walishatunga kama mbili za kutabili janga la Corona ila Sallam na Babu tale walikataa Zisitoke eti wangeipa Corona Kik
Msafiri Kafiri.
Aliona mbali sana Ulamaa!"Bila Upevu wa Fikra kung'amua Hii Homa ni Ndoto/ Madaktari , Waganga Wote Cha Mtoto/
Bado Wanaitafuta Pimajoto/
Kwani Dunia Ina Homa Kali Mithili ya Moto/
Wanasayansi Tumelala Maabara/ Tunaitafuta Tiba Kwani Homa ya Dunia Ishaleta Madhara
Hakuna Masihara/
Vipofu Wameisikia
Homa ya Dunia
Viziwi Bado Wanalia/
Mabubu Wanataka Kusimulia/
.
Dunia Sawa na Meli Yenye Tundu Inazama Polepole/
Nani Ataziba Tundu na Hakuna Kidole/
SOLO THANG " HOMA YA DUNIA 2001"
Isikilize yote YouTube hapa >>
Ukimwi no homa?Kwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao.
Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli
Hicho kitabu alitunga Zay B?Solo mwenyewe alikuwa amekopi kutoka katika kitabu ndio chanzo cha ugomvi wake na zay b. Hiyo ngoma ilikuwa inaelezea mabadilio ya tabia nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app