Kunywa kahawa birika zima nakuja kulipa fasta....Wcb walishatunga kama mbili za kutabili janga la Corona ila Sallam na Babu tale walikataa Zisitoke eti wangeipa Corona Kik
Roger dat.
Nyie lazima mtakuwepo tu hatuna namnaKwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao.
Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli
Wapi kaongelea ukimwi hebu Leta lines tuzisome apaKwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao.
Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli
Kazi ya fasihi hiyo haikuleza sawasawa kuwa ni UKİMWİ hivyo acha watu wachambue kulingana na mahitaji ya jamiiKwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao.
Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli
Nyie lazima mtakuwepo tu hatuna namna
Kazi ya fasihi hiyo haikuleza sawasawa kuwa ni UKİMWİ hivyo acha watu wachambue kulingana na mahitaji ya jamii
Ukimwi upo tangu miaka ya 1980 ,Homa ya Dunia imetoka 2001Kwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao.
Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli
Hicho kitabu nilikiona 2002, ilisemekana mwandishi alikuwa na ugomvi naye.Solo mwenyewe alikuwa amekopi kutoka katika kitabu ndio chanzo cha ugomvi wake na zay b. Hiyo ngoma ilikuwa inaelezea mabadilio ya tabia nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya fasihi ina dhamira nyingi hivyo tukubali ndiyo ukimwi, corona, makosa ya tendo la kujamiiana n.k"Dhambi kama kamchezo, binaadamu kabeba Dunia pasipo uwezo,
Na wengi wameponzwa dezo,
Wasichana wanasagana, wavulana wameona."
I can argue till tomorrow, huu haukuwa utabiri wa Corona. Kwa mfano kupenda dezo na huu ugonjwa ni wapi na wapi?
Nipe like basi kwa kuleta mjadala khaa"Dhambi kama kamchezo, binaadamu kabeba Dunia pasipo uwezo,
Na wengi wameponzwa dezo,
Wasichana wanasagana, wavulana wameona."
I can argue till tomorrow, huu haukuwa utabiri wa Corona. Kwa mfano kupenda dezo na huu ugonjwa ni wapi na wapi?
Hakutunga Zay B ila huyo bi dada alimchana solo kuwa amekopi kutoka katika kitabu cha homa ya dunia.Hicho kitabu alitunga Zay B?
Miandiko ya kike bhana!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wcb walishatunga kama mbili za kutabili janga la Corona ila Sallam na Babu tale walikataa Zisitoke eti wangeipa Corona Kik
seeHiyo verse ,channel Ten wanaitumia km Tangazo la kujihadhari na Corona
Haya mashairi aliyatoa kwenye kitabu cha kisabato kinaitwa Homa ya Dunia"Bila Upevu wa Fikra kung'amua Hii Homa ni Ndoto/ Madaktari , Waganga Wote Cha Mtoto/
Bado Wanaitafuta Pimajoto/
Kwani Dunia Ina Homa Kali Mithili ya Moto/
Wanasayansi Tumelala Maabara/ Tunaitafuta Tiba Kwani Homa ya Dunia Ishaleta Madhara
Hakuna Masihara/
Vipofu Wameisikia
Homa ya Dunia
Viziwi Bado Wanalia/
Mabubu Wanataka Kusimulia/
.
Dunia Sawa na Meli Yenye Tundu Inazama Polepole/
Nani Ataziba Tundu na Hakuna Kidole/
SOLO THANG " HOMA YA DUNIA 2001"
Isikilize yote YouTube hapa >>
Ooh basi hakua na kosa ku copy kitabu sababu ujumbe wa kwenye wimbo uliwafikia wengi kuliko ujumbe wa kwenye kitabu,Hakutunga Zay B ila huyo bi dada alimchana solo kuwa amekopi kutoka katika kitabu cha homa ya dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani watu waliumiza kichwaKwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao.
Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli