1kush africa JF-Expert Member Joined Dec 13, 2016 Posts 9,552 Reaction score 13,090 May 3, 2020 #41 bonvize said: Solo mwenyewe alikuwa amekopi kutoka katika kitabu ndio chanzo cha ugomvi wake na zay b. Hiyo ngoma ilikuwa inaelezea mabadilio ya tabia nchi. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wasanii wa leo hata vitabu hawasomi Sent using Jamii Forums mobile app
bonvize said: Solo mwenyewe alikuwa amekopi kutoka katika kitabu ndio chanzo cha ugomvi wake na zay b. Hiyo ngoma ilikuwa inaelezea mabadilio ya tabia nchi. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wasanii wa leo hata vitabu hawasomi Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Ni Mtu Wa Mungu JF-Expert Member Joined Dec 8, 2021 Posts 679 Reaction score 1,295 Dec 11, 2022 #42 Hakuwa anatabiri korona bhana
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Dec 11, 2022 #43 PAGAN said: Kwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao. Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli Click to expand... UKIMWI si aliuzungumza kwenye "sukari Ina pilipili"
PAGAN said: Kwenye Homa ya Dunia, Solo alikuwa anaongea kuhusu UKIMWI wala sio Corona. Na wala ule haukuwa utabiri kwasababu hakuweka mashairi yake kwenye wakati ujao. Kwahiyo Solo Thang hakutabri Corona. No, hapana, sio kweli Click to expand... UKIMWI si aliuzungumza kwenye "sukari Ina pilipili"