Solo Thang hapa kaka uliimba

Ukimaliza kusikiliza huo, tafuta na "Miss Tanzania" Bonge moja la wimbo, japo media wanaliogopa hataree
moja ya nyimbo yangu kalii kuwahi kutokea kwa mzee Solo Thang
 
Kulikuwa na mwanamuziki anaitwa Mr. Paul nilikuwa napenda sana nyimbo zake na sauti yake sijui yuko wapi?! Jamaa alikuwa ana sauti imetulia hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…