Solo Thang: Tuzidi kumuombea Chid Benz

Watafuta kiki wakina babu tale wameamua kumuacha jamaa. Walimtoa rehab baada ya mwezi huku msimamizi wa kituo alisema mwezi mmoja hautoshi walau akae hata miezi 6. Pole sana chidi benz, mkono mfururu yaani pahpahpah wamekaa!
wewe usiyetafuta kiki umemuweka rehab kwa muda gani?
 
Mimi nilishangaa sana kwa Muda aliokaa Rehab kwamba awe amepona. Na cha ajabu kuna vyombo vya Bahari vilishabikia sana kutangaza kwamba Chidi kapona wakati kiuhalisia huyu jamaa alikuwa bado Sanaa.. Hivi vyombo vya habari vinachangia sana kuwafikisha hawa jamaa hapo walipo kwa kuwapa puplicity ambayo inawaathiri kisaikolojia.
 
Hayo ndio maisha uliyochagua, kila la heri king Kong.
 
Kula sembe chidi, kula Sana sembe ikieezekana changanya Na Dona kabisa kaka
 
Ch Chidiii..., "the dead man working" kula sembe kijana..
 
Aiseee yani huyu wamebaki kumzika tuu ana hali mabaya sana na wanao weza kumsaidia kwa sasa ni ndugu zake tuu,....
Tafadhari SHILO kwa Prophet Frank akaombewe.Dar
Boko Magengeni.
Yupo pale hadi
31st Dec 2016.
Maisha ni yakwake anatakiwa kujihurumia.
Shalom.
 
Tatizo kubwa la ndugu yetu RASHIDI MAKWILO ni ujuaji uliopitiliza kifupi unaweza kusema ni sikio la kufa kaka zake dada zake wa dogo zake mama zake baba zake washikaji familia wameongea nae sna hataki kubadilika hizo REHAB ndio usisema amepelekwa km mara 10 hv hkn mabadiliko nafikiri tumpe nafasi hayo ndio maisha aliochangua kuishi
 
NGADA NA BANGI NI MBAYA SANA HAIFAI HATA KWA KULIPWA
 
Hauna kilio msiba wa kujitakia,dunia nzima inapinga madawa ya kulevya,hakuna mahali duniani pote wanaporuhusu madawa ya kulevya,kwa hiyo ukitumia ujue lazima upate laana,hatuwezi kumuombea mtu wa hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…