Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Wanabodi!
Wengi wanaamini Rais Samia Suluhu Hassani hayupo sahihi kusema yeye ni Rai's wa awamu ya sita.
Kutokana na watu wengi kuwa na mkanganyiko juu ya suala hili naomba nifafanue Kama ifuatavyo.
Nafikiri Kwanza tujue maana ya neno lenyewe " Awamu" Kimaana neno hili haliendi kinyume na neno "Zamu" , "Zama" ama kipindi" au "nyakati" .
kila " Awamu" katika Serikali huwa na "mkuu" wake yaani Rais. Kwa muda wote atakaokaa madarakani huunda awamu yake moja (kiutawala).
Kwa mujibu wa katiba Rais mmoja anaweza kuwa "mkuu" wa serikali Kwa "awamu" mbili lakini Kimantiki huwa ni awamu moja iliyogawika katika vipindi yaani A na B, hivi vipindi viwili Kama mechi moja ya mpira wa miguu. ambapo kila "kipindi A na B" kina miaka mitano Kama dakika 45 za soka (na hapa ndipo wengi pamewachanganya).
Awamu ya Kwanza " mkuu" wa serikali alikuwa JK Nyerere aliyeongoza "awamu" moja yenye jumla ya miaka 23. Nyerere alipostaafu " awamu" , "Zama" ama wakati wake ukaishia hapo.
Ikajaja "awamu " ama "Zama" za Alhaji Mwinyi ambayo ilidumu Kwa miaka "10" awamu ya Mwinyi iliisha Kwa yeye kumaliza mda uliowekwa kikatiba.
Ikaja awamu ya tatu na ya nne zilizoisha Kwa namna Kama ya Mwinyi.
Ikaja awamu ya tano iliyoongozwa na JPM ambapo awamu yake imedumu Kwa takribani miaka sita , awamu ya JPM imeisha Kwa yeye kufariki (R.I.P) kabla haijakamilika miaka iliyowekwa kikatiba Kwa awamu moja. Rais akifarik na "Zama" , wakati wake wa kutawala huishia hapo.
Kifo kimekatisha awamu ya utawala wa JPM na kutulazimisha kuingia awamu ya "sita" ya Rais Samia Suluhu Hassan. Awamu za uongoz hazibadiliki Kwa uchaguzi pekee Kama wengi walivyokariri bali zinaweza kubadilika Kwa Rais wa awamu husika kujiuzulu "kung'atuka" , kumaliza kipindi chake kikatiba na Hata Rai's kufariki.
Mama Samia ni rais wa awamu ya sita.
Naomba kuwasilisha.
Wengi wanaamini Rais Samia Suluhu Hassani hayupo sahihi kusema yeye ni Rai's wa awamu ya sita.
Kutokana na watu wengi kuwa na mkanganyiko juu ya suala hili naomba nifafanue Kama ifuatavyo.
Nafikiri Kwanza tujue maana ya neno lenyewe " Awamu" Kimaana neno hili haliendi kinyume na neno "Zamu" , "Zama" ama kipindi" au "nyakati" .
kila " Awamu" katika Serikali huwa na "mkuu" wake yaani Rais. Kwa muda wote atakaokaa madarakani huunda awamu yake moja (kiutawala).
Kwa mujibu wa katiba Rais mmoja anaweza kuwa "mkuu" wa serikali Kwa "awamu" mbili lakini Kimantiki huwa ni awamu moja iliyogawika katika vipindi yaani A na B, hivi vipindi viwili Kama mechi moja ya mpira wa miguu. ambapo kila "kipindi A na B" kina miaka mitano Kama dakika 45 za soka (na hapa ndipo wengi pamewachanganya).
Awamu ya Kwanza " mkuu" wa serikali alikuwa JK Nyerere aliyeongoza "awamu" moja yenye jumla ya miaka 23. Nyerere alipostaafu " awamu" , "Zama" ama wakati wake ukaishia hapo.
Ikajaja "awamu " ama "Zama" za Alhaji Mwinyi ambayo ilidumu Kwa miaka "10" awamu ya Mwinyi iliisha Kwa yeye kumaliza mda uliowekwa kikatiba.
Ikaja awamu ya tatu na ya nne zilizoisha Kwa namna Kama ya Mwinyi.
Ikaja awamu ya tano iliyoongozwa na JPM ambapo awamu yake imedumu Kwa takribani miaka sita , awamu ya JPM imeisha Kwa yeye kufariki (R.I.P) kabla haijakamilika miaka iliyowekwa kikatiba Kwa awamu moja. Rais akifarik na "Zama" , wakati wake wa kutawala huishia hapo.
Kifo kimekatisha awamu ya utawala wa JPM na kutulazimisha kuingia awamu ya "sita" ya Rais Samia Suluhu Hassan. Awamu za uongoz hazibadiliki Kwa uchaguzi pekee Kama wengi walivyokariri bali zinaweza kubadilika Kwa Rais wa awamu husika kujiuzulu "kung'atuka" , kumaliza kipindi chake kikatiba na Hata Rai's kufariki.
Mama Samia ni rais wa awamu ya sita.
Naomba kuwasilisha.