Masoud Waukweli
Member
- Apr 21, 2014
- 17
- 2
Tatizo Langu Ni Kuwa Na Uvimbe Mdogo Kwenye Koo Ambao Nime Dumu Nao Kwa Muda Mrefu Na Isitoshe Hauja Wahi Kuniletea Matatizo Yoyote Mpaka Sasa Kama Kuuma Nk Naomba Msaada Wa Kujua Kiundani Tatizo Langu Pamoja Na Njia Ya Kutibu Mana Naogopa Kukaja Tokea Matatizo Mengine Baadae Nb:nilikosea Mara Ya Kwanza Nika Andika Kon